Posts

Showing posts from September 24, 2016

Diamond Platnumz ameonyesha nyumba yake na Zari Afrika ya Kusini (South Africa )

Image
Diamond Platnumz  ameingia kwenye headlines tena baada ya kupost nyumba kwenye instagram yake leo  September 23 2016 ambayo ni siku ya kuzaliwa ya mpenzi wake  Zari  ambayo amemfanyia kama suprise aliyoinunua nchini  South Afrika , na kuweka caption nzito na hivi ndivyo alivyotiririka. >>’ They are busy bragging them selves that they are Rich while their Kids staying in the Renting House… and today a person that, they are daily abuse and saying that he’s broke & Poor Bought a House, so that their Kids can have a better life, as they always wish on Social Media….. Happy Birthday Mama tee i hope you like our new South African House….Can’t wait for your Big weekend in Zanzibar tomorrow….I love you So much mama tee, we ndio Salome wa Moyo wangu pekee @zarithebosslady   (Wanakazana kujisifu Matajiri Ilhali watoto zao wanaishi kwenye Nyumba zakupanga… halaf leo yuleyule wanaemtukana kutwa kwenye Mitandao kuwa Masikini, kajawa na shida, Kanun...

Diamond kam-post tena Wema Sepetu

Image
Kama unakumbuka  July 5, 2016 mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz aliingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kupost kwenye Instagram kuhusu watu kujitokeza kwa wingi kwenye show ambayo imeandaliwa na mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu pamoja na Christian Bella na Idris. Leo September 22 2016, Diamond Platnumz amekuwa akipost videos za mashabiki wake wakiimba hit yake mpya ya ‘Salome’,  amezikamata tena headlines kwa kupost video ya Wema Sepetu akiimbia wimbo huo na kuandika caption hii >>” Hivi huku patakuwa ni kupatwa kwa nini….??? Tisha sana#SALOME wake @idrissultan full Video link in my BIO and @rayvanny BIO …..Shukran sana @vodacomtanzaniakwa intanet yenye kasi Zaidi inayoniwezesha kuwapa habari Mashabiki zangu Mara kwa Mara…#VodacomKaziNiKwako#

Justin Bieber atakuwepo kwenye Fast & Furious 8

Image
Najua kuna watu wangu ni wapenzi wa movie na wasanii wa nje, Good news! kwenu imeripotiwa leo na kituo cha habari E daily news kuwa movie ambayo wote mmekuwa mkiisubiria kwa hamu Fast and Furious 8 itakayozinduliwa mwanzoni mwa 2017 kunauwezekano msanii kutoka Canada, Justin Bieber kuigiza pia. Kumekuwa na taarifa pia kutoka, Movie Pilot kwamba Justin Bieber ataungana na waigizaji wa movie hiyo katika season nyingine tena ya 8, na pia Msanii huyo amekuwa akifahamiana sana na Director wa Movie hiyo anayeitwa Gary Gray . Iliendelea kuelezwa kuwa Justin alitaka kushutiwa kwenye movie hiyo tangu 2012 ambayo ilikuwa Fast and Furious 7 lakini haikuwezekana kutokana sababu kwamba hakuwa amefanya mazoezi ya kutosha na akashauriwa kuendelea na mazoezi kwanza. Ilipofika 2013 alipofariki mmoja wa waigizaji wa movie hiyo Paul Walker  ikasemekana Justin kuziba pengo lakini haikuwa hivyo likazibwa na Cody Walker, zaidi wametaja kuwa Justin sasahivi amejiandaa kikamilifu na inasemekan...