Posts

Showing posts from November 21, 2016

NEW VIDEO ; CASSPER NYOVEST FT DIAMOND PLATNUMZ MY HEART

Image
Collabo mpya kutoka kwa Cassper Nyovest na Diamond platmumz wa Tanzania Tazama hapo chini

NEW VIDEO ; DAVIDO FT NASTY C - CCOLEST KID IN AFRICA

Image
Mkali kutoka pande za west Africa "Nigeria" anaejulikana kwa jina la Davido ameachia video yake mpya kabisa .... Itazame hapo chini

VIDEO: Walter Chilambo katangaza kuiacha Bongofleva

Image
  Aliyewahi kuwa mshindi wa Bongo star search mwaka 2012 mkimfahamu kama Walter Chilambo ambae kwa muda kidogo sasa hajatoa ngoma yoyote na hii imejenga maswali mengi kwa mshabiki wake kuwa ameacha muziki ama vipi. Camera za Millardayo.com na AyoTv iliweza kumpata Walter Chilambo na haya ndio maneno aliyozungumza  .. >>> ‘Bongofleva sahizi kiukweli sina plan yoyote kwasababu sahivi plan yangu nataka kuswitch na kufanya kitu kingine haimanishi kwamba naukimbia mziki wa bongofleva hapana! nauweza vizuri sana ila nimekuwa na marafiki wazuri wamenishauri kufanya kitu tofauti hata makanisani pia wachungaji kwahiyo nimekuwa na hofu ya Mungu tu’

VIDEOMPYA: Walter Chilambo ameingia kwenye Gospel, ametuletea ‘Asante’

Image
Baada ya kutangaza kuacha bongofleva Walter Chilambo ameachia video ya wimbo wake mpya wa gospel unaoitwa ‘Asante’. Anatukaribisha kuangalia, pia usiache kuniachia comment yako juu ya wimbo huu ili Walter akisoma ajue watanzania wamepokea vipi wimbo pamoja na video hii.

VIDEO: “Ushindani wa Diamond na Alikiba uendelee”- Bien wa Sauti Sol

Image
Baada ya kundi kutokea nchini Kenya , Sauti Sol kutua Tanzania mkoani Arusha kwaajili ya show itakayofanyika leo Nov 19 2016 Millardayo.com na AyoTv  imeweza kuwapata katika interview na katika maswali waliyoulizwa moja wapo ilikuwa inayosemekana ni beef kati ya Diamond Platnumz na Alikiba. Member wa Crew hiyo Bien Sol amejibu hivi. >>>’Iyo ni biashara na hata sisi Sauti Sol wengine ni mashabiki wa Diamond na wengine wa Alikiba tumefanya nyimbo na Kiba labda wengi hawakufurahi so tutafanya ngoma na Diamond pia iyo bif iendelee cause inacreate job, news, so me naona vyema iyo bif iendelee kwa mtandao tu ni sawa kwasababu kwenye muziki pia kunahitajika ushindani’ – Bien