Pep Guardiola katambulishwa mbele ya mashabiki 5,800 wa Man City,alichosema kuhusu kumsajili Lionel Messi.
Pep Guardiola ’45’ ametambulishwa rasmi kwa mashabiki wa klabu ya Manchester City kama kocha wao mpya. Guardiola mbele ya mashabiki 5,800 kwenye jukwa la shule ya mpira ya Man City Football Academy. Pep Guardiola anaanza mazoezi na Man City Jumatatu ya July 3 2016,Guardiola pia ameongelea tetesi za kumsajili Lionel Messi kutoka Barcelona nakusema “ Hilo jambo haliko kabisa kwenye mipango yangu “