FULL INTERVIEW: Kitu Diamond amesema kuhusu Ommy Dimpoz, nani mkali, Universal, Rihanna na Rick Ross
Mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz alifanya mahojiano na XXL ya CloudsFM November 23 2016 chini ya Watangazaji B Dozen , Mami Baby na Kennedy na kuongea ishu nyingi kwa uzito ikiwemo kusaini mkataba na Universal, maneno kati yake na Ommy Dimpoz.