Posts

Showing posts from October 29, 2016

Majibu ya ACT Wazalendo kwa Ole Sendeka baada ya kutaka Zitto achunguzwe

Image
Jana October 28 2016, msemaji wa chama cha mapinduzi ‘CCM’ Christopher Ole Sendeka alikutana na waandshi wa habari pamoja na mambo mengine Christopher Ole Sendeka alimshutumu Zitto Kabwe kwa kile alichosema amekuwa na chuki na serikali ya awamu ya tano, huku akidai alikuwa ni miongoni mwa viongozi waliokuwa wanasimamia shirika la NSSF wakati akiwa mwenyekiti wa PAC  ambalo hivi karibuni shirika la NSSF limekumbwa na kashfa ya ufisadi hivyo Ole Sendeka ametaka Zitto achunguzwe. Baada ya tuhuma hizo chama cha ACT Wazalendo kimekutana na waandishi wa habari leo October 29 2016 kupitia kwa katibu wa bunge na Serikali za mitaa wa ACT Wazalendo, Habibu Mchange  ambapo amesema wameshtushwa  na tuhuma hizo zilizotolewa na  msemaji wa chama cha Mapinduzi ‘CCM’, Christopher Ole Sendeka dhidi ya Kiongozi wa chama chao,  Zitto Kabwe,  hivyo kutokana na hayo chama cha chao kinakaribisha uchunguzi juu ya mali za Zitto. ’Chama chetu kinakaribisha uchungu...

VIDEO: Majibu ya Linex kuhusu kuhamia kwenye muziki wa injili

Image
Baada ya headline kuandikwa kwamba hivi sasa staa wa bongoflava  Linex Sunday Mjeda  ameamua kuachana na style ya muziki wake na kuhamika kwenye muziki wa injili,  Linex mwenyewe amesimama mbele ya camera ya. SHAYO TV nakusema kuwa bado hajafikilia kuhamia moja kwa moja ingawa anatarajia kuachia midundo ya injili. ‘ Mungu anatutoa mbali sana watu, hata ukiwa wa shetani inapaswa urudishe moyo wako na umsifu Mungu baba, nilipotoka na hapa nilipo wacha nimshukuru yeye ‘ – Linex ‘ Mwaka huu nitarekodi muziki wangu wa kawaida lakini nitarekodi na nyimbo za injili na hadi sasa ninazo ngoma mbili kwahiyo sifikiri kama ni kitu kibaya kufanya hata muziki wa injili kwa lengo la kumshukuru Mungu ‘ – Linex Tazama video hapa chini