Posts

Showing posts from October 2, 2016

VIDEO: Siku 330 Rais Magufuli atekeleza hizi ahadi, Zitto aishtukia ripoti ya BOT

Image
kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo October 2 2016 ziko hapa kwenye hii video.

VIDEO: Diamond Platnumz ametaja gharama alizonunulia Nyumba South Afrika

Image
September 23 2016  Diamond Platnumz aliingia kwenye headlines baada ya kupost Nyumba ambayo aliandika kuwa ni zawadi kuwa Mpenzi wake ambaye ni Mrembo  Zari , Baada ya  Diamond Platnumz  kupost Nyumba hiyo ambayo iko  South Africa  zimepita  siku saba na amehojiwa na kipindi cha  Weekend Chat Show  na kazitaja Gharama alizonunulia Nyumba hiyo.

VIDEO: Kama Diamond Platnumz atauza account yake Instagram, hii ndio pesa atakayouzia

Image
Katika list ya mastaa wakubwa kutoka bongoflevani wenye mafanikio makubwa kwa sasa hivi huwezi kuacha kumtaja Diamond Platnumz   na pia ni mmoja kati ya mastaa wenye   followers   wengi kwenye mitandao ya kijamii haswa mtandao wa Instagram   ambapo staa huyu anafollowers  Mil.2.8   sasa hivi. Septeber 30 2016  Diamond Platnumz  amefanya interview na  Clouds Tv  kwenye kipindi cha  de weekend chat show  ambapo amefunguka ikiwa leo hii ataambiwa auze account yake ya Instagram  hii ndio bei alioitaja, unaweza kuitazama video nimekuwekea hapo chini…