Posts

Showing posts from May 3, 2016

CR7 atacheza dhidi ya Manchester City

Image
   Jibu ni ndiyo. Mchezaji Christiano Ronaldo wa Real Madrid atacheza michuano ya nusu  fainali ya UEFA Champions league wakivaana na Manchester  City  baada ya kupata majibu ya vipimo vilivyopimwa mapema Leo hii. Hii imethibitishwa na daktari wa timu pamoja na kocha wa Real  Madrid

Leicester City Washangilia Ubingwa nyumbani kwa Vardy

Baada ya klabu ya Leicester City kutangaza Ubingwa kufuatia sare ya goli 2-2 waliotoka Tottenham Hotspurs dhidi ya Chelsea katika uwanja wa Stamford Bridge , wachezaji wa Leicester City kwa pamoja walikusanyika katika nyumba ya Jamie Vardy ambaye ni mchezaji mwenzao wa timu hiyo na kuanza kusherekea.    Nyota karibia wote wa Leicester City waliwasili kwa Vardy huku baadhi ya mashabiki wakiishia kuzunguuka nyumba ya Vardy na kushangazwa na wachezaji hao wa Leicester City ambao wametwaa Ubingwa mbele ya timu vigogo kama Chelsea, Man United Arsenal na nyinginezo.