Posts

Showing posts from November 18, 2016

NEW VIDEO ; TIMBULO FT BARAKA THE PRINCE INAYOITWA "USISAHAU"

Image
Msanii Timbulo leo Nov 18,  2016  ametosogezea hii video ya single mpya iitwayo ‘Usisahau’  aliyomshirikisha Baraka The Prince. Ukishamaliza kuitazama hapa sio mbaya ukituachia na comment yako ili wakali huyo akipita hapa kujua Watanzania wameipokeaje. Tazama hapo chini

U HEARD: Gari ya Mo Music yachukuliwa na Benki kisa deni

Image
U Heard ya XXL leo November 18, 2016 kupitia Clouds FM ipo na stori kuhusu Benki kuchukua gari inayodaiwa ni ya star wa hit single ya Basi Nenda Mo Music. Kwa mujibu wa taarifa ya shuhuda wa tukio hilo amesema kuwa gari hiyo imechukuliwa na Benki wakati Mo Music akiwa Mwanza. “Sijajua kakamgari ilikuwa yake au ilikuwa ya yule dada aliyekuwa naye kwenye gari, walikuwa kama wanafanya town trip tu ndio jamaa wakatokea wakazuia gari wakashushwa na hao madalali yeye akakimbia ilikuwa ni maeneo ya Cecafa jijini Mwanza. Gari ni aina Verossa. Walikua wanawafatilia kwa nyuma mpaka walivyopaki ndio wakakamatwa.” – Shuhuda  Soudy Brown amezungumza na aliyedaiwa ni baba yake Mo Music na kueleza kile anachokijua yeye kuhusu taarifa hizo. “Hiyo sio kweli kitu ambacho nakizungumza kama sio maneno ya pembeni mimi sina taarifa kwamba Mo amekopa gari sasa kama sina hizo taarifa kwahiyo siwezi kujua kama Moshi (Mo Music ) amenyang’anywa gari hapa mimi niko nyumbani kwangu na ...