Posts

Showing posts from July 1, 2016
Image
Mwigizaji Aunty Ezekiel amekaa kwenye Exclusive ya AyoTV na kuelezea vitu kadhaa kwenye mapenzi yake na Dancer wa Diamond Platnumz   Mose Iyobo ambapo miongoni mwa alivyoongelea ni pamoja na siku ambayo Mose alihisi ujauzito aliokua nao Aunty sio wa mtoto wake . ‘Kwanza Mose Iyobo aliniambia niitoe hii mimba nilipomuuliza kwanini akasema najua wewe Aunty Ezekiel huwezi kuzaa na mimi, akaniambia hajajipanga sababu ana mtoto mwingine, nilimwambia hii mimba ni yangu na kila afanye maisha yake kama ni hivyo…. ‘ – Aunty Ezekiel   Ukitaka kupata full story bonyeza play kwenye hii video hapa chini

MUONEKANO WA STUDIO YA WCB IKIWA NA PICHA YA ALI KIBA UKUTANI

Image
   Hapa chini kuna video fupi inayoonyesha muonekano wa studio ya WCB ikiwa na picha ya Ali Kiba a.k.a #King_kiba katika ukuta wake . Tazama video ili kujionea zaidi.

Diamond Platnumz na Meno ya Gold

Image
Kupitia Twitter yake Diamond aliandika kuhusu ngoma itayowakutanisha wakali wawili ambao ni Harmonize wa Tanzania na Korede wa Nigeria, na kuelezea  pia muonekano wake ulionekana ukiwa na mabadiliko ya meno ya Gold, tazama hii video hapa chini

Portugal / Ureno

Image
Baada ya kusimama kwa takribani siku mbili kwa ajili ya mapumziko ya mechi za Euro 2016 , usiku wa June 30 2016 ulichezwa mchezo wa kwanza wa robo fainali ya michuano hiyo ya Euro 2016 , mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Euro 2016  ulikuwa kati ya Poland na Ureno .  Mchezo huo uliochezwa katika uwanja wa Stade Velodrome jijini Marseille Ufaransa wenye uwezo wa kuchukua mashabiki zaidi ya elfu 60, umemalizika kwa timu ya taifa ya Ureno kuibuka na ushindi wa mikawaju ya penati 3-5, hiyo inatokana na dakika 120 kumalizika kwa sare ya goli 1-1, magoli ambayo yalifungwa na Robert Lewandoski dakika ya 2 kwa Poland na Renato Sanchez dakika 33 kwa upande wa Ureno.   Kwa matokeo hayo Ureno inakuwa timu ya kwanza kufuzu katika hatua ta robo fainali na itakutana na mshindi kati ya Wales dhidi ya Ubelgiji , kama utakuwa unakumbuka vizuri Ureno katika mechi 11 amewahi kuifunga Poland mara 5, sare mara 3 na amewahi kupoteza mara 3 toka October 16 1976...

Wiz Kid

Image
Good news kwa wasanii Afrika kuzidi kufanya vizuri katika tasnia nzima ya muziki ambapo wizkid amezichukua Headlines leo June 30 2016  kupitia kituo kikubwa cha kimataifa   MTV Base wameripoti kuwa Wizkid amefanya collabo msanii wa marekani  Chrisbrown kwenye hit yake mpya iitwayo “SHABBA” . https://youtu.be/a-mu2iQY8yQ   Bofya hapo juu kutazama vidio ya nyimbo hiyo .

EURO 2016

Image
Portugal wins over Poland through penalty shootouts. Since there were no winner after the full time. Robert Lewandowski was the first one to open the scoring follows by the Portugal equalizer from Luz Sanchez.

ABDU KIBA KUJIUNGA WCB??

Image
Baada ya taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa msanii kutoka Bongoflevani Abdu Kiba yuko  tayari kujiunga na Lebel ya WCB ya  Diamond Platnumz, June 8 2016 AyO TV pamoja na millardayo.com imekutana na Abdu Kiba na katoa majibu haya kutokana na taarifa hii ya kujiunga WCB  >’ Si kweli kama watu walivyomaanisha nashangaa taarifa ambazo zinasambaa kuwa mimi ninaweza kukaa mezani na kusaini WCB hapana mimi sikumaanisha hivyo kwa sababu kwanza mimi niko chini ya Lebel yangu ambayo wanasimamia muziki wangu, halafu kwenye upande wa kuimba sidhani kama upande ule ninaweza kupata madini zaidi ya huku’