Posts

U HEARD: ‘Mimi ninavyong’anganiwa na wanawake naanzaje kumbaka’-Nay wa Mitego

Image
Stori zilianza wiki iliyopita ambapo Nisha aliandika kuwa ana mimba ya mwanaume ambaye waliachana muda mrefu na baadaye alirudi na kumbaka, hakumtaja jina lake ila akasema ni msanii, kwa mujibu wa taarifa za Soudy Brown mhusika wa mimba hiyo ni Nay wa Mitego. Soudy Brown amepiga stori na Nay wa Mitego…….  '' hizi stori naziona, sipendi kuonekana nashindana na mwanamke, huwa nakaa kimya lakini nimeona vimezidi yeye ana vichochea sijui anatengeneza kiki lakini hii inanichafua, iko hivi mimi sijaonana na huyo msichana karibu mwaka wa tatu sasa, sijui nashirikishwaje kwenye suala la mimba mara naambiwa nimembaka, mimi ninvyogombaniwa na wanawake naanzaje kumbaka'’;- Nay wa Mitego play kusikiliza hapo chini..

FULL LIST: Diamond, Alikiba, Vanessa Mdee, NavyKenzo wametajwa kwenye Tuzo za SoundCityMVP2016

Image
  Mastaa ambao wako A-List kwenye muziki wa BongoFlava kutoka Tanzania, Diamond Platnumz, NavyKenzo, Vanessa Mde na Alikiba wametajwa kwenye list ya wasanii wanaowania tuzo za SoundCityMVP zinazoandaliwa na kutolewa na kituo cha TV kutoka nchini Nigeria cha Sound City TV. Tayari majina na category zote za wasanii watakawania tuzo hizo yametangazwa na kituo hicho huku zikiwa na ushindani mkubwa kwa namna vipengele vilivopangwa. Diamond Platnumz anawania tuzo mbili ikiwemo Msanii Best African Of The Year pia atachuana na mastaa wengine kwenye tuzo ya “Best Male” ambao ni rapa Emtee kutoka South Africa, Wizkid (Nigeria), Patoranking (Nigeria), Falz (Nigeria), Olamide (Nigeria) na Phyno (Nigeria). Alikiba anawania tuzo ya Video Bora akicompete na mastaa wengine kama Mr. Eazi – SkinTight, Patoranking – No Kissing, Eddy Kenzo – Mbilo Mbilo, Emtee – Roll Up, DJ Maphorisa – Soweto Baby, Phyno – Fada Fada, Olamide – Who You Epp, Harry Song – Raggae Blues na...

Aunty Ezekiel na Mose Iyobo watarajia mtoto wa pili.

Image
Moja kati ya picha ambazo zimekuwa zikisambaa kwa kasi katika mtandao wa Instagram leo Jumamosi ya November 26 ni picha ya muigizaji Aunty Ezekiel pamoja na mpenzi wake Mose Iyobo . Picha hiyo ambayo imepostiwa na baadhi ya watu ikiwemo  Mose Iyobo mwenyewe inamuonesha Aunty Ezikiel akiwa mjamzito, kitu ambacho kimefanya baadhi ya mashabiki wao kutoa comment za pongezi. Kama utakuwa unakumbuka vizuri Mose Iyobo na Aunty Ezekiel wana mtoto wa kike anayejulikana kwa jina la Cookie hivyo kwa mujibu wa post ya Mose Iyobo inawezekana wakawa wanatarajia mtoto wa pili.

NEW VIDEO: Korede Bello - Do like that

Image
    Good news kwa mashabiki wa staa wa Nigeria chini ya label ya The Mavins , Korede Bello baada ya kuachia collabo yake na Tiwa savage, ‘Mr Romantic ‘ amerudi tena kwenye Air waves na hii ‘Do like that’ ambayo tayari nimekusogezea video yake hapa unaweza kuitazama.

FULL INTERVIEW: Kitu Diamond amesema kuhusu Ommy Dimpoz, nani mkali, Universal, Rihanna na Rick Ross

Image
  Mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz alifanya mahojiano na XXL ya CloudsFM November 23 2016 chini ya Watangazaji B Dozen , Mami Baby na Kennedy na kuongea ishu nyingi kwa uzito ikiwemo kusaini mkataba na Universal, maneno kati yake na Ommy Dimpoz.  

NEW VIDEO: DARASA FT BEN POL - MUZIKI

Image
  Bongofleva inajivunia pia kuwa na Darassa,   wengi wameimba nae sana kwenye hit single ‘ Too Much’ ila leo katuletea hii mpya ya ‘ muziki ‘ kamshirikisha Ben Pol , video imefanywa hapahapa Tanzania na Director Hanscana, ukishaitazama tafadhali usiache kuandika comment yako ili wakipita hapa baadae wajue watu wao wameipokeaje.  

NEW VIDEO ; RICH MAVOKO FT DIAMOND PLATNUMZ - KOKORO OUT NOW!!!

Image
  WCB wanayofuraha kutualika kuitazama video mpya ya kijana wao Rich Mavoko ambayo kamshirikisha Boss wake Diamond Platnumz, ukishamaliza kuitazama video hii ni ruhusa kuacha na comment yako umeionaje na wimbo wenyewe ili wakipita baadae wajue watu wao wameipokeaje.