Diamond Platnumz na Meno ya Gold




Kupitia Twitter yake Diamond aliandika kuhusu ngoma itayowakutanisha wakali wawili ambao ni Harmonize wa Tanzania na Korede wa Nigeria, na kuelezea  pia muonekano wake ulionekana ukiwa na mabadiliko ya meno ya Gold, tazama hii video hapa chini


Comments

Popular posts from this blog

NEW VIDEO: Korede Bello - Do like that