Portugal wins over Poland through penalty shootouts. Since there were no winner after the full time. Robert Lewandowski was the first one to open the scoring follows by the Portugal equalizer from Luz Sanchez.
Good news kwa mashabiki wa staa wa Nigeria chini ya label ya The Mavins , Korede Bello baada ya kuachia collabo yake na Tiwa savage, ‘Mr Romantic ‘ amerudi tena kwenye Air waves na hii ‘Do like that’ ambayo tayari nimekusogezea video yake hapa unaweza kuitazama.
Ni September 5, 2016 ambapo Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz anazimiliki headlines baada ya kupost kionjo cha remix aliyoifanya ya wimbo wa ‘All the way up’ ya French Montana. Bofya hapo chini kusikiliza
Comments