MUONEKANO WA STUDIO YA WCB IKIWA NA PICHA YA ALI KIBA UKUTANI
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Hapa chini kuna video fupi inayoonyesha muonekano wa studio ya WCB ikiwa na picha ya Ali Kiba a.k.a #King_kiba katika ukuta wake . Tazama video ili kujionea zaidi.
Mei 2 2016 Mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda amewaapisha wakuu wa idara na maofisa utumishi wote wa manispaa hiyo ili kusaidia kubaini watumishi hewa. Makonda kafikia hatua hiyo baada ya watumishi hao kuwa wanampa idadi tofauti kila anapohitaji kupata taarifa, akizungumza na Waandishi wa habari Dar es salaam Makonda anasema.. >>> ‘Mara ya kwanza mliniambia tuna watumishi hewa 71, mara ya pili mkasema 87 na mara ya tatu wakapungua hadi 66 tena mara zote hizi ni idadi ya watumishi hewa kimkoa jambo ambalo roho wa Mungu alinikataza kutangaza‘ ‘ Sasa Mungu kanipa njia ambayo nimewaambia wiki iliyopita, Leo hii wameongezeka wamefika watumishi hewa 209 huku ziai ya bilioni 2 zikipotea. Je, nisinge msikiliza Mungu si mgenifanya nikafukuzwa kazi? ‘ Baada ya maelezo hayo Mkuu wa mkoa akawapatia mikataba ya viapo katika kutafuta watumishi hewa, lengo likiwa ni kuwataka kila mtumishi kuwabainisha watumishi wao hewa katika idara zao na atakayebainika kutoa taarifa z...
Meneja wa RockStar 4000 Seven Mosha amethibitisha kuwa msanii wao The King Ali Kiba atafanya show kwenye usiku a Tuzo za MAMA ‘ MTVAfrica Music Awards 2016 ‘. Show Hii itafanyika 22, October, 2016.
Godzilla ni moja kati ya wasanii wanaofanya vizuri kwa sasa kutoka kwenye game ya muziki kutoka Bongoflevani, stori ambazo zipo kwenye social network ni kuwa Godzilla ana bifu na mkali Bilnass, June 9 2016 Ayo TV na millardayo.com ilipata time yakupiga stori na Godzila na kafunguka kuhusiana na bifu hiyo. ‘ kitukimoja kuhusiana na muziki ni kufanya nmuziki kwa bidii na haiko sawa kumuongelea mtu mwingine mambo ya kwenye mitandao na mimi ni tofauti, hii ni busness atakayefika atafika unajua Bob Marley alisema Time wil tel l’>>> Godzilla
Comments