Video: Diamond Platnumz ameshirikishwa na msanii kutoka Zimbabwe kwenye ‘Watora Mari’



Bongofleva inazidi kupata rotation kubwa barani Afrika, Mtu wangu nimekuwekea hii video hapa Diamond Platnumz ameshirikishwa na msanii kutoka Zimbabwe ni mdundo uliofanywa na Producer Laizer kutoka WCB wenye jina Watora Mari, usisahau kuniachia comment yako hapa na wakali hawa wataziona hapa.

Official Video ya Jah Prayzah ft Diamond Platnumz

Comments

Popular posts from this blog

R.C Paul Makonda na Wafanyakazi Hewa

Video: Godzila kafunguka kuhusiana na bifu yake na Billnass

Rwanda yanunua ndege ya kipekee Afrika nzima, ni ya pili duniani (+Picha)