Video: Diamond Platnumz ameshirikishwa na msanii kutoka Zimbabwe kwenye ‘Watora Mari’



Bongofleva inazidi kupata rotation kubwa barani Afrika, Mtu wangu nimekuwekea hii video hapa Diamond Platnumz ameshirikishwa na msanii kutoka Zimbabwe ni mdundo uliofanywa na Producer Laizer kutoka WCB wenye jina Watora Mari, usisahau kuniachia comment yako hapa na wakali hawa wataziona hapa.

Official Video ya Jah Prayzah ft Diamond Platnumz

Comments

Popular posts from this blog

NEW VIDEO: Korede Bello - Do like that

Diamond Platnumz ameonyesha nyumba yake na Zari Afrika ya Kusini (South Africa )